SHINDANO LA MWANAUME MWENYE SURA MBAYA ZAIDI NCHINI ZIMBABWE...TAZAMA MSHINDI HAPA




William Masvinhu kwa mara nyingine tena amenyakua taji la Mwenye Sura Mbaya huko Zimbabwe katika shindano lililofanyika siku ya Ijumaa ndani ya ukumbi wa City Sports Bar.

Amepewa taji, hela pamoja na Ofa ya mwanae mmoja kulipiwa ada ya shule kwa mwaka mmoja, mke wake William naye alikuwepo ukumbuni hapo na alifurahia sana ushindi huo wa mumewe.

Katika kujifaharisha na taji lake, William alisema" Ubaya wa Sura yangu ni wa Asili, ingawa nilijiaanda kidogo kwa shindano hili lakini mengine niliyaacha yajishughulikie yenyewe"


Photo: William Masvinhu won the title of the ugliest man in Harare
Hao ndio washiriki wote kwa ujumla ambapo William alitoka Kidedea
Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment