YANGA YAPAA VPL: YAICHABANGA JKT RUVU 4-0



Yanga SC imeichabanga JKT Ruvu mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Vodacom iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar na kufikisha pointi 25. Wafungaji wa mabao ya Yanga: Mrisho Ngassa dakika ya 3 na 12, Oscar Joshua dakika ya 47 na Jerryson Tegete dakika ya 89.
Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment