Yanga SC imeichabanga JKT Ruvu mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Vodacom iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar na kufikisha pointi 25. Wafungaji wa mabao ya Yanga: Mrisho Ngassa dakika ya 3 na 12, Oscar Joshua dakika ya 47 na Jerryson Tegete dakika ya 89.
YANGA YAPAA VPL: YAICHABANGA JKT RUVU 4-0
Yanga SC imeichabanga JKT Ruvu mabao 4-0 katika mechi ya Ligi Kuu Vodacom iliyopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar na kufikisha pointi 25. Wafungaji wa mabao ya Yanga: Mrisho Ngassa dakika ya 3 na 12, Oscar Joshua dakika ya 47 na Jerryson Tegete dakika ya 89.
0 comments:
Post a Comment