ZIFAHAMU TABIA 27 ZA WANAUME/­ WAVULANA WANAOJUA KUPENDA




1. Hupiga simu mara kwa mara
kumuulizia mpenzi wake
anaendeleaje 

2. Hujihisi vibaya pale
anaposahau siku ya kuzaliwa
(birthday) au siku mliyoanza
mahusiano (anniversary) na
huomba msamaha 

3. Hushukiza na zawadi
mbalimbali hata kama sio
muda maalumu 

4. Mara kwa mara hukuambia
"NAKUPENDA">>>"I Love You"

5. Anajua kufanya mapenzi na
wewe 

6. Anajua jijnsi ya kujali,
kukumbatia, kuchumu na
kutimiza mahitaji ya
kimahaba kwa mpenzi wake 

7. Huhisi kuumia pale mpenzi
wake anapopitia hali ngumu 

8. Hupenda kuona mpenzi
wake ana furaha na hutamani
kufurahi pamoja 

9. Siku zote hutafuta muda
mzuri kutumia pamoja na
mpenzi wake 

10. Kamwe hawezi kumpiga
au kumuumiza kisaikolojia
mpenzi wake 

11. Huoa bila kusubiria
sanaaaa... 

12. Husamehe na kusahai pale
anapoumizwa hisia zake 

13. Hatotumia siri au udhaifu
wako kukufanyia mabaya 

14. Hatotangaza kama mpenzi
wake ana madhaifu fulani 

15. Ni mvumilivu na tayari
kufanyia usulihisho kwenye
matatizo ya uhusiano wake 

16. Anajua kwamba ni
muhimu kwa mpenzi wake
kutumia muda wake akiwa na
marafiki zake, ndugu na
familia yake 

17. Kamwe hawezi kutoka nje
ya uhusiano wenu ( will not
cheat on you) 

18. Hawezi kuwachokoza
marafiki zako wakike mpaka
point ambayo itakuwa
inakuboa au kukupa mashaka 

19. Hawezi kwenda nje ili
mfanye mpenzi wake apate
wivu

20. Humheshimu mpenzi wake
pale awapo na marafiki na
familia yake 

21. Humsaidia mpenzi wake na
kazi mbali mbali( mf. za
nyubani au masomo) 

22. Hufurahia kampani ya
marafiki na ndugu wa mpenzi
wake 

23. Husaidia kufikia malengo
na kutimiza ndoto za mpenzi
wake 

24. Kamwe hakatishi tamaa
mpenz wake pale
wanapokuwa wanaongea

25. Hujali sana kuhusu
mawazo, hisia na ushauri wa
mpenzi wake 

26. Mara nyingi huwepo pale
mpenzi wake anapohitaji
msaada 

27. HUJUA KWAMBA NJIA
YAKE SIO NNJIA PEKEE.....
 
 
KWA HISANI YA TABASAMU NA FULEDI
Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment