Ne-Yo amtangaza mchumba wake

Msanii maarufu wa Pop na R&B ametumia ukurasa wake wa Twitter kumuanika mchumba wake wa sasa mwanamitindo Crystal Reney.
Ne-Yo Crystal Renay kissing

Zaidi mkali huyo mwenye miaka 35 ambaye amehusishwa na kushirikiana na wakali wa Bongo Fleva akiwemo Diamond na Ali Kiba ameweka wazi kuwa wanatarajia kupata mtoto.

Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment