Leo Novemba 13, mwanamuziki nguli ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Mganda Jose Chameleone ametumia ukurasa wake wa Facebook kuonyesha mahaba yake kwa mkewe Daniela baada ya kuweka picha yake mtandaoni ikisindikizwa na maneno matamu ya kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa.
Nimeweka hapa post ya Chameleone ambayo ameandika kwa lugha ya kiingereza ikitafsiriwa hivi:Kwa niaba ya familia ya Mayanja, TeamChameleone na Leone island music tunakutakia heri ya Siku ya Kuzaliwa.
We have been together for Years sharing the Joy,Friendship and above all - LOVE one of the Biggest gifts God gives....Kwa niaba ya MwanaharakatiMzalendo Media ninamtakia Daniela heri ya Siku ya Kuzaliwa.
Posted by DR. JOSE Chameleone on Friday, November 13, 2015
0 comments:
Post a Comment