HAFLA YA MCHAPALO WA UZINDUZI WA INTANETI YA KASI YA TIGO 4G LTE JIJINI MWANZA YAFANA


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe  Joseph Mkirikiti(katikati),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula(kulia),Mbunge wa Ilemela Angelina Mabula(wa pili kuhoto),Mkuu wa Kitengo cha Biashara Olivier Prentout(kushoto) na  Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Maswanya(wa pili kulia)wakipiga ngoma ikiwa ni ishara ya  uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza
Wageni waalikwa wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza,wakibadilisha line zao ili wapate zinazoweza kuendana na kasi hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe  Joseph Mkirikiti(kulia),Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula(katikati) na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ali Maswanya,wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza.
Wageni waalikwa wa uzinduzi wa mtandao wa tigo wa 4G jijini Mwanza,wakinunua Modem  za 4G,ambapo ziliuzwa kwa punguzo la bei.

Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment