SHULE TANO ZA MSINGI MKOANI KIGOMA ZAPATA MSAADA WA MADAWATI 185 TOKA TIGO


Meneja wa kanda ya ziwa wa kampuni ya simu ya mkononi ya tigo Kamara Kalembo (kulia) akikabidhi kwa Mkuu wa wilaya Kigoma Samson Anga (kushoto) sehemu ya madawati 185 yaliyotolewa na kampuni hiyo kwa shule tano za msingi mkoani Kigoma.



Mkuu wa wilaya Kigoma Samson Anga akikabidhi madawati 50 kwa Mwalim Mkuu wa shule ya msingi Karuta Manispaa ya Kigoma Ujiji Therezia Edward ikiwa ni sehemu ya madawati 185 yaliyotolewa na kampuni simu ya mkononi ya tigo  kwa shule tano za msingi mkoani Kigoma


Mwenyekiti wa kamati ya shule ya msingi Karuta Athuman Juma (katikati) akitoa neno la shukrani kwa kampuni ya simu ya mkononi ya tigo ambayo ilitoa madawati 50 kwa shule hiyo ili kukabili upungufu wa madawati unaoikabili shule hiyo.

Mkuu wa wilaya Kigoma Samson Anga (wa pili kulia) akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Karuta Manispaa ya Kigoma Ujiji baada ya kupokea madawati 185 kutoka kwa kampuni ya simu ya mkononi ya tigo yaliyotolewa kwa shule tano za msingi mkoani Kigoma.

Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment