HUU NDIO UTAJIRI WA BONGO MOVIE SUPER STAR MZEE MAJUTO!!


 

Kwenye interview aliyofanya na Millard Ayo mzee huyu staa wa movie za vichekesho hapa Tanzania ambae mpaka sasa ameshaigiza movie zaidi ya 600, umri wake ukiwa miaka 65… alithibitisha kwamba anapokea mshahara wa milioni 17 mpaka 20 kwa mwezi sasa hivi kutoka kampuni ya Steps anayofanya nayo kazi
Daladala za biashara anazomiliki Mzee Majuto ni tatu tu na anamiliki pia Noah ambayo ndio anaitumia kutembelea.
19 
18
16
14
13
10
6
2
9
3
4
5
17
12
11
15
Source: Millard Ayo
Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment