JAY-Z NA BEYONCE KUFANYA ON THE RUN TOUR PAMOJA

Wapendanao Jay Z na Beyonce wametangaza kufanya kwa pamoja tour inayokwenda kwa jina la "On The Run" ambayo itaanza kufanyika June 25 huko Miami. Habari hii imekuwa ikizungumzwa chinichini lakini kwa sasa Gossip Cop imeripoti kuwa sio siri tena na wandani hao watafanya maonyesho 16 ndani ya U.S.A.
Tiketi zitaanza kuuzwa May 2 na mtiririko mzima wa show ni huu hapa:
Wednesday, June 25 – Miami, FL, Sun Life Stadium
Saturday, June 28 – Cincinnati, OH, Great American Ballpark
Tuesday, July 1 – Foxborough, MA, Gillette Stadium
Saturday, July 5 – Philadelphia, PA, Citizen’s Bank Park
Monday, July 7 – Baltimore, MD, M & T Bank Stadium
Wednesday, July 9 – Toronto, ON, Rogers Centre
Friday, July 11 – East Rutherford, NJ, MetLife Stadium
Tuesday, July 15 – Atlanta, GA, Georgia Dome
Friday, July 18 – Houston, TX, Minute Maid Park
Sunday, July 20 – New Orleans, LA, Mercedes-Benz Superdome
Tuesday, July 22 – Dallas, TX, AT&T Stadium
Thursday, July 24 – Chicago, IL, Soldier Field
Sunday, July 27 – Winnipeg, MB, Investor Group Field
Wednesday, July 30 – Seattle, WA, Safeco Field
Saturday, August 2 – Los Angeles, CA, Rose Bowl
Tuesday, August 5 – San Francisco, CA, AT&T Park
0 comments:
Post a Comment