Nje? Luis Suarez anaweza kukosa fainali za kombe la dunia baada ya kubainika kuwa anahitaji kufanyiwa upasuaji wa goti.
MSHAMBULIAJI hatari wa Liverpool na timu ya taifa ya Uruguay, Luis Suarez yuko hatarini kukosa fainali za kombe la dunia baada ya kugundulika kuwa anahitaji kufanyiwa upasuaji wa goti kutokana na majeruhi aliyoyapata katika mazoezi ya jana jumatano.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment