Picha: Wivu wa Beyonce kwa Jay Z haufichiki.

Wabongo wana kajimsemo "abiria chunga mzigo wako" kajimsemo haka kanaonekana kukubalika sana kwa mwanadada Beyonce ambaye mara kadhaa amekuwa akipepesa jicho wakati Jay Z anapochati kwa simu.
Jumatatu hii wakati  wanandoa hao wakitazama mechi ya mpira wa kikapu kati ya Houston Rockets vs Brooklyn Nets, Beyonce alionekana akiibia kutazama mumewe anafanya nini kwenye simu yake.

 beyone jay z phone look
Kwa hali ya mahusiano ya wanandoa hao, huwezi kudhani kuwa Beyonce angeweza kumhofia mumewe kwa kiasi hicho lakini mambo ndo hayoo, mapenzi hayana mjanja. Hii sio mara ya kwanza kwa mwanadada kwa mrembo Bey kuchungulia baba wa Blue Ivy anafanya nini kwa simu, angalia na picha hii hapa:
Jay-Z and Beyonce sitting in the front row at the Toronto Raptors vs. Brooklyn Nets at the Barclays Center
Share on Google Plus

About Planet Passport

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment