UMESHAIONA HII REMIX YA "NASEMA NAWE" ALIYOFANYA ERIC OMONDI?

Sitaki nikuhadithie chochote ingali waweza kutazama na kusikia jinsi mchekeshaji kutoka Kenya Eric Omondi alivyofanya mbwembwe kwenye wimbo wa Mtanzania Diamond.

   

Eric Omondi ameamua kuuita wimbo huo Nabeba Mawe badala ya Nasema Nawe na vitu alivyovifanya humo ndani ni vya kukufanya ulazwe hospitali kwa maumivu ya mbavu.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment