HAFLA YA KUMUAGA MKURUNGEZI MTENDAJI WA TIGO TANZANIA Diego Gutierrez YAFANA JANA HYATT REGENY HOTEL

Wafanyakazi wa tigo tanzania jana usiku  waliungana katika hafla ya kumuaga Mkurungezi Mtendaji wa Tigo Tanzania Diego Guteirez aliyemaliza muda wake na kumkaribisha mkurungezi mpya wa tigo Cecile Tiano hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Hyatt  Regency hotel
wafanyakzi wakifuatilia kwa makini shughuli zinazoendelea hapo ukumbini
Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na mkurungezi mtendaji wa Tigo Tanzania Diego Gutierez aliyemaliza muda wake pamoja na mdau Issa Nyenye katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na mkurungezi mtendaji  mpya wa Tigo Tanzania Cecile Tiano katika hafla ya kumuaga mkurungezi alieymaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na mdau joel ambaye pia ni mkrungezi wa FRESH 120 MEDIA  katika hafla ya kumuaga mkurungezi aliyemaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na Wadau George katoto  na Deo Rupia  katika hafla ya kumuaga mkurungezi aliyemaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na mdau MC GARAB  katika hafla ya kumuaga mkurungezi alieymaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na  Meneja chapa wa Tigo TANZANIA Bw. wiliam Mpinga  katika hafla ya kumuaga mkurungezi alieymaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY



Mkurungezi wa ukanda wa pwani wa TIGO  Goodluck charles akitoa zawadi  katika hafla ya kumuaga mkurungezi alieymaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Zawadi zikiendelea kutolewa kwa mkurungezi mkuu wa TIGO tanzana  alieyemaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez    katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY


Mkurungezi wa MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA ambao ni wamiliki wa mtandao huu  Krantz Mwantepele akipata taswira na wasanii wa bongo fleva vanesa mdee na barnaba  katika hafla ya kumuaga mkurungezi mtendaji  aliyemaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY

Mduara ukiendelea kwa wafanyakazi wote

 selfie zikiendelea hapa na pale kwa wafanyakazi kupata taswira na wasanii vanesa mdee na Baranaba

 Mkurungezi  Mtendaji  alieyemaliza muda wake hapa nchini Diego Gutierez   aliyemaliza muda wake aakipata selfie na mmoja wa wafanyakazi waliohudhuria     katika hafla iliyofanyika jana usiku katika hotel ya Hyatt REGENCY


wafanyakazi wa Tigo Tanzania wakifurahia jambo katika hafla ya kumuaga mkurungezi mtendaji wa TIGO tanzania Diego Guteirezaliyemaliza muda wake hapa nchini sherehe hizi zilifanyika katika hotel ya Hyatt REGENCY

wafanyakazi wa Tigo Tanzania wakifurahia jambo katika hafla ya kumuaga mkurungezi mtendaji wa TIGO tanzania Diego Guteirezaliyemaliza muda wake hapa nchini sherehe hizi zilifanyika katika hotel ya Hyatt REGENCY

Ze taswiraz na meneja huduma kwa wateja wa TIGO tanzania Charles Gardner

Ze Taswira na wadau Najim katika hafla hiyo ya kumuaga mkurungezi mrtendaji wa Tigo Diego Guteirez

ze taswira na mdau Noeli

 wafanyakazi wa Tigo wakiendela kupata ze taswiraz
wafanayakazi wa Tigo Tanzania wakifuatailia kwa makini hotuba ya mkurungezi wa TIGO  tanzania aliyemaliza muda wake hapa nchini

 Mkurungezi Mtendaji wa Tigo TANZANIA alieyemaliza muda wake hapa nchini Diego Guteirez akitoa htouba  fupi ya kuaga baada ya kupata majukumu mengine  akiwa kaongozana na  yake mkewe na watoto wanne.

wafanayakazi wakipata nafasi ya kupata chakula na vinywaji   humu ukumbini

Mkurungezi Mtendaji wa Tigo TANZANIA alieyemaliza muda wake hapa nchini Diego Guteirez akitoa htouba  fupi ya kuaga kqwa wakuu wa idara mbalimbali aliofanya nao kazi kwa muda wote aliofanya kaz hapa nchini
wasanii wa bongo fleva vanesa mdee na Barnaba wakitumbuiza katika  hafla ya kumuaga Mkurungezi mtendaji wa Tigo Tanzania Diego Guteirez aliyemaliza muda wake na kumkaribisha mkurungezi mpya wa tigo Cecile Tiano hafla hiyo ilifanyika katika hoteli ya Hyatt  Regency hotel









Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment