Umoja wa
nchi za ulaya EU wampa tuzo Fareed Kubanda a.k.a Fid Q ya CHAMPION of
the 2015 Europe Year for Development in Tanzania ,Pia Fid Q alifunguka
kwenye Amplifaya ya Cloudsfm nakusema amefarijika sana kupata Tuzo hiyo
kwani itampa hamasa ya kufanya kazi kwa bidii zaidi.
Pia Fid Q alisema amepata Tuzo hiyo kutokana na kujitolea kusaidia vijana katika jamii ili waache miadarati na japo kuwa darasa kwa sasa limefungwa ila anampango wa kulifungua tena upya darasa hilo
0 comments:
Post a Comment