Msanii wa Bongofleva Barnaba akiwajibika jukwaani wakati akitumbuiza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta SIZe Yako liliofanyika jana mjini Sumbawanga |
Msanii wa Bongofleva Barnaba akiwajibika jukwaani wakati akitumbuiza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta SIZe Yako liliofanyika jana mjini Sumbawanga |
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Joriii akiitawala jukwaa la Tigo Fiesta 2019 Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia leo |
Msanii wa bongoflava Jay Melody akiwa jukwaani katika tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia leo mjini Sumbawanga |
Msanii Badest akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta sumbawanga jana |
Mtangazaji wa kipindi cha Double XXL kinachorushwa na radio ya crouds fm ambaye alikuwa moja washereheshaji katika tamasha la Tigo Fiesta Sumbawanga akiwa na wapenzi wa kipndi hicho kutoka Sumbawanga |
Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr Alfani Haule akiburudika na mziki katika jukwaa la Tigo Fiesta. |
Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr Alfani Haule akiwa na mtangazaji wa Double XXL katika jukwaa la Tigo Fiesta mwisho wa wiki . |
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule akimtambulisha mbunge wa Jimbo la Sumbawanga mjini mh Aeshi Hilaly na kuchemza muziki jukwaani usiku wa kuamkia leo Sumbawanga |
Mbunge wa Sumbawanga mjini akiongea na wananchi walio hudhulia kwenye tamasha la Tigo Fiesta jana Sumbawanga. |
Msanii Marioo akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo Fiesta jana Sumbawanga |
Msanii wa muziki wa injili Goodluck Gozbeth akitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta jana Sumbawanga |
Msanii wa bongo fleva Joh Makini akiwa jukwaani akitumbuiza kwenye Tigo Fiest 2019 sumbawanga usiku wa kuamkia leo |
Msanii Mr Blue akitumbuIza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia leo Sumbawanga |
Maelfu ya wapenda burudani wa mkoa wa Rukwa na Mikoa ya karibu wakifurahia burudani mbali mbali zinazotolewa katika jukwaa la Tigo Fiesta saizi yako Mjini Sumbawanga |
0 comments:
Post a Comment