H-BABA alazwa Muhimbili kwa maradhi ya Dengue



Mwanamuziki / Muigizaji wa Filamu H-Baba amelazwa kwenye Hospitali ya Muhimbili baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa wa Dengue.
Awali H-Baba hali yake ilikuwa mbaya siku ya Jumatano alipokuwa anajiandaa kwenda kuaga mwili wa Marehemu George Tyson. Alianguka na kushindwa kuhudhuria.
Kwa sasa hali yake inaendelea vizuri.
Share on Google Plus

About EDITOR

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment